MAMLAKA
ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imesema mvua kubwa zilizotangazwa awali
zinatarajiwa kuanza leo katika mikoa ya ukanda wa pwani.Mamlaka
hiyo imetangaza hali ya hatari katika ukanda huo na kuwataka wananchi
kuondoka katika maeneo hatarishi ya mabondeni ambako maji hukutana.
Hivyo wakazi wa Dar es Salaam na kwingineko wamekuwa na hofu na mvua hizo kwa kuzihofia kutokana na kutangazwa mara kwa mara
Baadhi ya wakazi wa maeneo hayo tayari wameshamisha familia zao ili kukabilina na tatizo hilo
Hata hivyo hadi kufikia majira ya alasiri ya leo mvua hizo kwa mkoa wa Dar es salaam zilikuwa bado hazijaanza rasmi
Kwa
taarifa iliyoipata nifahamishe zimebaini kuwa, Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam, Said Meck Sadik ameshajipanga kwa kuweka mikakati kwa
kukabiliana na hatari hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Kajala Masanja. Pamoja na kutoa faini ya Sh. milioni 13 alizolipiwa na staa mwenzake wa filamu, Wema Isaac Sepetu, Kajala anat...
-
Askari Bandia wa Kikosi cha Usalama Barabarani aliyekamatwa leo mchana maeneo ya Kinyelezi Mnara,Tabata jijini Dar es Salaam akiwa...
-
MTUHUMIWA wa mauaji ya watu tisa na unyang'anyi wilayani Tarime mkoani Ma...
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
FT Birmingham City 3 - 1 Swansea City FT Manchester United 1 - 0 Liverpool FT Newcastle United 2 - 0 Leeds United FT Tranmere Rovers 0...
No comments:
Post a Comment