|
Shabiki wa Yanga akitoa dukuduku lake |
Ushabiki wa soka Tanzania umezidi kukua katika miaka ya karibuni lakini katika washabiki wote wa soka la Bongo hakuna shabiki mwenye ushabiki uliopitiliza kama jamaa huyu mshabiki wa Yanga ambaye hakuridhika na matokeo na alimwaga chozi baada ya Yanga kutoka sare ya 1-1 na Simba. |
|
|
Shabiki
huyo wa Yanga aliangua machozi akishusha lawama nzito kwa refa wa mechi
ya Simba na Yanga pamoja na washika vibendera wake akisema kuwa
wameinyima Yanga ushindi. Angalia VIDEO ya shabiki huyo wa Yanga akishusha lawama zake kwa uchungu mkubwa sana uliomfanya ashindwe kuzuia machozi kutiririka kwenye macho yake. |
||
|
| ||
Wednesday, October 10, 2012
Huyu ndio Jamaa Anayeipenda Yanga Kuliko Kitu Chochote
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
ORODHA YA WALIOCHAGULIWA AWAMU YA PILI KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI MWAKA 2012 ( 249.92 kB ) ORODHA YA WALIOCHAGULI...
-
Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya New Habari (2006), Absalom Kibanda aliangua kilio baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya Uandishi wa ...
-
-
Chelsea 0 - 0 Fulham Everton 1 - 1 Arsenal Southampton 1 - 1 Norwich City Stoke City 2 - 1 Newcastle United Swansea City 3 - 1 West Bro...
No comments:
Post a Comment