Bondia THOMAS MASHALI kushoto
akitunishiana misuri na MEDY SEBYALA wa UGANDA baada ya kupima uzito Dar
es salaam leo kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika siku ya
kumbukumbu ya baba wa Taifa katika pambano la Ubingwa wa Africa
mashariki litakalofanyi ukumbi wa Friends corner hotel siku ya jumapili
14/10/2012a katika anaeshudia katikati ni Rais wa TPBC Onesmo Ngowi
ambaye ndie msimamizi mkuu wa mpambano huo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Karibuni tena Dodoma Waheshimiwa Wajumbe wa Bunge Maalum la kutunga Katiba ya nchi yetu. Sote tuna kila sababu ya kumshukuru Mwenyez...
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Utangulizi Ndugu wananchi; Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, kwa kutujalia uzima na kutuwezesha ...
-
1 Tukio la tetemeko: Tarehe 10/09/2016 saa 9 na dakika 27 mchana kumetokea tetemeko la ardhi mkoani Kagera. Kitovu cha teteme...
-
Tume ya Mabadiliko ya Katiba imeongeza siku mbili za kupiga kura ya kuchagua wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya, zoezi ambalo awali ...
No comments:
Post a Comment