Thursday, September 20, 2012
Wanafunzi wapatao 4,000 wamekosa mkopo kwa mwaka wa masomo 2012/2013 kutokana na ufinyu wa bajeti. Akiongea kaimu Mkurugenzh wa bodi hiyo Bw. Asangye Bangu amesema jumla ya wanafunzi 49,895 walituma maombi kwa bodi ya mikopo, kati yao wanafunzi 33,050 ndio walikidhi vigezo lakini waliopata mkopo ni wanafunzi 29,113. Asilmia 31.9 ni wasichana wakati asilimia 68.0 ni wavulana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
-
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo anadaiwa kutumia ujanja katika wasifu na elimu yake ambapo katika maisha yake...
-
Chama cha Wasafirishaji wa Mafuta Tanzania (Tatoa), kimesema Rwanda na Uganda zitajitoa kutumia Bandari ya Dar es Salaam kuanzia Septem...
-
Jamaa ndio atakuwa ansababisha ile Burudani ya fiesta pande za Dar
No comments:
Post a Comment