Thursday, September 20, 2012
Wanafunzi wapatao 4,000 wamekosa mkopo kwa mwaka wa masomo 2012/2013 kutokana na ufinyu wa bajeti. Akiongea kaimu Mkurugenzh wa bodi hiyo Bw. Asangye Bangu amesema jumla ya wanafunzi 49,895 walituma maombi kwa bodi ya mikopo, kati yao wanafunzi 33,050 ndio walikidhi vigezo lakini waliopata mkopo ni wanafunzi 29,113. Asilmia 31.9 ni wasichana wakati asilimia 68.0 ni wavulana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Kaimu Mkurugenzi wa SUMATRA Athman Kilima akizungumza na waandishi wa habari leo April 02,2013 katika makao m...
-
-
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha NEC, leo Agosti 26, 2013 mjini Dodoma. Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, ...
-
Manfred Adam anayekabiliwa na kesi ya kutishia kuua katika hali isiyotarajiwa amelimwaga kojo katika Mahakama ya Mwanzo na kuleta vurugu ...
No comments:
Post a Comment