Baada ya wizara ya usafirishaji kupiga marufuku uchimbaji dawa barabarani, sasa vyo vilivyojengwa katika vituo mbalimbali vyatia aibu kwa uchafu. Miongoni mwa vyoo vinavyoongoza kwa uchafu ni vile vilivyojengwa katika mzani wa msata huko pwani. Hii imeelezwa na baadhi ya wasafiri waliopita katika kituo hicho.
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.