Pages

Friday, September 21, 2012

Arusha ni soo.

Wafuasi wa Chadema mjini Arusha wakisukuma gari alilokuwa akiendesha aliyeuwa Mbunge wa Arusha Mjini,Godbless Lema, jana, baada ya kuahirishwa kesi ya kupinga hukumu iliyomvua ubunge wake. Kesi hiyo imeahirishwa kutokana na wakili wa wajibu rufaa,Alute Mughwai na ndugu yake Tundu Lissu ambaye ni wakili wa waleta maombi kufiwa na baba yao.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.