Monday, August 27, 2012
Timu ya mpira wa miguu Azam, imemtimua rarmi kiungo kutoka Kenya George Odhiambo 'BLACKBERY' kutokana na utovu wa nidhamu katika timu hiyo. Msemaji wa timu hiyo amesema Odhiambo hakufika mazoezini takribani siku nne bila kutoa taarifa. Aliongeza kuwa nafasi yake itachukuliwa na mchezaji mwingine mapema iwezekanavyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Lori la mizigo lililogongana uso kwa uso na basi la Al - Saedy lililokuwa likitoka Dar Es salaam kuelekea Mkoani Dodoma ...
-
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha na Mhe OmaDr Yussuf Mzee, Waziri wa Fedha ...
-
ZAMANI nilikuwa nikiskia mtu analalamika kaibiwa wimbo au kaibiwa njia. Nilikuwa naona ni kama maigizo na mtu kutafuta kick ya kupandia ....
-
No comments:
Post a Comment