Monday, August 27, 2012
Timu ya mpira wa miguu Azam, imemtimua rarmi kiungo kutoka Kenya George Odhiambo 'BLACKBERY' kutokana na utovu wa nidhamu katika timu hiyo. Msemaji wa timu hiyo amesema Odhiambo hakufika mazoezini takribani siku nne bila kutoa taarifa. Aliongeza kuwa nafasi yake itachukuliwa na mchezaji mwingine mapema iwezekanavyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
MTUHUMIWA ANAETAFUTWA NA JESHI LA POLISI KWA WIZI WA MTOTO MAMA MZAZI WA MTOTO ALIYEIBIWA BABA MZAZI ANAYETUHUMIWA KWA W...
-
Kuelekea shoo maalumu ya Miaka 13, ya mwanamuziki nguli wa bongo fleva nchini na kiongozi wa bendi yenye msisimko mkubwa ya ‘Machozi Ban...
-
-
No comments:
Post a Comment