Monday, August 27, 2012
Bodi ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu yakabiliwa na tuhuma za Ubadhilifu wa pesa. Imeripotiwa kuwa vigogo katika bodi hiyo hujilipa mishahara minono, kigogo mwingine aajiri ndugu zake 11 wasio na sifa. Mpaka sasa pesa iliyokusanywa na Bodi hiyo ni bilion 9 tu, na zaidi ya bilion 300 hazijakusanywa bado. Chanzo: Jamii forum
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Lori la mizigo lililogongana uso kwa uso na basi la Al - Saedy lililokuwa likitoka Dar Es salaam kuelekea Mkoani Dodoma ...
-
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa katika picha na Mhe OmaDr Yussuf Mzee, Waziri wa Fedha ...
-
ZAMANI nilikuwa nikiskia mtu analalamika kaibiwa wimbo au kaibiwa njia. Nilikuwa naona ni kama maigizo na mtu kutafuta kick ya kupandia ....
-
Chama cha Wasafirishaji wa Mafuta Tanzania (Tatoa), kimesema Rwanda na Uganda zitajitoa kutumia Bandari ya Dar es Salaam kuanzia Septem...
No comments:
Post a Comment