
Ajari hiyo imehusisha magari mawili ambapo gari aina ya Hiace yenye nambari za usajiri
T756 CHX, Ilienda kuliparamia lori lililokuwa limeharibika lenye nambari za usajiri T696 AMS
Gari hilo aina ya Hiace lilikuwa limebeba wasafiri likitokea wilayani Kahama kuelekea wilaya ya Ushirombo ambapo kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga Bw. Kihema Kihema amethibitisha kutokea kwa ajari hiyo na kusema kuwa miongoni mwa watu waliopoteza maisha ni Dereva wa Hiace ambaye alifariki palepale baada ya ajari kutokea na majeruhi wamepelekwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama kwa ajiri ya Huduma ya kwanza na matibabu.
No comments:
Post a Comment