Watu 13 wamefariki na wengine 11 kujeruhiwa vibaya katika ajari iliyotokea mkoani Shinyanga usiku wa kuamkia leo.
Ajari hiyo imehusisha magari mawili ambapo gari aina ya Hiace yenye nambari za usajiri
T756 CHX, Ilienda kuliparamia lori lililokuwa limeharibika lenye nambari za usajiri T696 AMS
Gari hilo aina ya Hiace lilikuwa limebeba wasafiri likitokea wilayani Kahama kuelekea wilaya ya Ushirombo ambapo kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga Bw. Kihema Kihema amethibitisha kutokea kwa ajari hiyo na kusema kuwa miongoni mwa watu waliopoteza maisha ni Dereva wa Hiace ambaye alifariki palepale baada ya ajari kutokea na majeruhi wamepelekwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama kwa ajiri ya Huduma ya kwanza na matibabu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Ofisi ya Rais wa Rwanda imekanusha vikali uvumi ulioenea nchini humo na nchi ...
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Zitto Kabwe akitoa ufafanuzi juu ya taarifa yake ya mahesabu y...
-
Mwaka huu shindano la kusaka vipaji vya kuimba maarufu kama Epiq Bongo Star Search litakuwa likioneshwa kupitia TBC1. Kupitia F...
-
Watu wawili wamekutwa wameuawa kikatili mchana wa leo katika matukio mawili tofauti Mkoani Shinyanga Tukio la kwanza linamhusisha k...
No comments:
Post a Comment