Badala ya Raisi wa Kenya Bw. Uhuru Kenyatta na mwenzake Ruto kwenda kusomewa Mashtaka yake katika moja kwa moja kaatika Mahakama ya Makosa ya Jinai (ICC), Kesi yao itasikilizwa kupiti picha za video wakiwa nchini Kenya.
Wakati wa kampeni za uchaguzi nchini Kenya, Uhuru aliiomba ICC kutumia picha za video katika kusikiliza kesi inayomkabili kama atashinda katika uchaguzi mkuu ili aendelee kuwaongoza wanainchi wa Kenya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Jeraha katika mguu wa mwandishi wa habari Shomi Mtaki lililotokana na risasi baada ya kuvamiwa na majambazi Shomi Mtaki akione...
-
-
Mganga wa kienyeji mkazi wa Kijiji cha Nyansincha, wilayani Tarime mkoani Mara, Mwita Nyamankore, anasakwa na Polisi kwa madai ya kum...
-
-
Chanzo cha moto huo bado hakijaripotiwa, Lakini Meya Ilala Mh. Jerry Slaa amesema jengo PPF liko salama, chumba cha mitambo ya mawasi...
No comments:
Post a Comment