Badala ya Raisi wa Kenya Bw. Uhuru Kenyatta na mwenzake Ruto kwenda kusomewa Mashtaka yake katika moja kwa moja kaatika Mahakama ya Makosa ya Jinai (ICC), Kesi yao itasikilizwa kupiti picha za video wakiwa nchini Kenya.
Wakati wa kampeni za uchaguzi nchini Kenya, Uhuru aliiomba ICC kutumia picha za video katika kusikiliza kesi inayomkabili kama atashinda katika uchaguzi mkuu ili aendelee kuwaongoza wanainchi wa Kenya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
Wahamiaji haramu waliokuwa wakiishi Dar es Salaam, wameendelea kukamatwa na kurejeshwa kwao, ambapo pia imebainika wengi walikuwa wauza k...
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
Utangulizi Ndugu wananchi; Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, kwa kutujalia uzima na kutuwezesha ...
-
I. UTANGULIZI: a) Maswali Mhe...

No comments:
Post a Comment