Badala ya Raisi wa Kenya Bw. Uhuru Kenyatta na mwenzake Ruto kwenda kusomewa Mashtaka yake katika moja kwa moja kaatika Mahakama ya Makosa ya Jinai (ICC), Kesi yao itasikilizwa kupiti picha za video wakiwa nchini Kenya.
Wakati wa kampeni za uchaguzi nchini Kenya, Uhuru aliiomba ICC kutumia picha za video katika kusikiliza kesi inayomkabili kama atashinda katika uchaguzi mkuu ili aendelee kuwaongoza wanainchi wa Kenya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
MTUHUMIWA wa mauaji ya watu tisa na unyang'anyi wilayani Tarime mkoani Ma...
-
Maelfu ya waathiriwa wanapokea matibabu baada ya vijiji vyao kuathirika kutokana na madini yenye sumu ya Lead na sumu inayotokana na migo...
-
Kijana Staphord Giliad kwa sasa yupo nchini India akicheza mchezo huu na maisha yanaendelea
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
-
(Abiria wakigombania kuingia katika daladala.) Mamlaka ya Udhibiti wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra)...
No comments:
Post a Comment