Shirika la ndege la Tanzania ATCL sasa limerejesha usafiri kwa mikoa ya Kigoma na Tabora baada ya kusitishwa kwa huduma hiyo mwaka jana.pamoja na hilo zaidi ya abiria 25 wanusurika kupoteza maisha baada ya ndege ya kampuni hiyo kupata hitilafu ikiwa angani huko mkoani Kigoma.
No comments:
Post a Comment