Kenya hivi karibuni iliwaamrisha wakimbizi wote walohama katika miji mbali mbali kurudi katika kambi ya Dadaab, kambi kuu ya wakimbizi barani Afrika, hiyo ikiwa njia moja ya kujibu wimbi la masham bulizi ya kigaidi katika miji ya nchi hiyo.
Monday, January 14, 2013
WAKIMBIZI WAISHI KWA MASHAKA AFRIKA MASHARIKI
Kenya hivi karibuni iliwaamrisha wakimbizi wote walohama katika miji mbali mbali kurudi katika kambi ya Dadaab, kambi kuu ya wakimbizi barani Afrika, hiyo ikiwa njia moja ya kujibu wimbi la masham bulizi ya kigaidi katika miji ya nchi hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Dakika 90 za mchezo Simba Sc 0-0 Coastal Union
-
-
-
Arsenal v/s Tottenham Hotspur Liverpool v/s Wigan Athletic Manchester City v/s Aston Villa Newcastle United v/s Swansea City Queens Par...
No comments:
Post a Comment