Mamia ya wanaharakati wamefanya mazishi yenye namna ya mzaha ya wabunge wote nchini Kenya.
Wanaharakati hao waliokuwa na majeneza zaidi ya
mia mbili walifanya maandamano jijini Nairobi na kuyateketeza majeneza
hayo nje ya jengo la bunge la Kenya kufuatia hatua wa wabunge kupitisha
sheria ambayo ingewapa marupurupu ya zaidi ya dola laki moja kila mmoja
na mazishi ya kitaifa watakapofariki.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Cristiano Ronaldo - Bugatti Veyron David Beckham Bentley - Continental Supersports Claude Makalele - Ferrari 360 Didier ...
-
SONG: STUCK ON YOU Artist: Lionel Richie Stuck on you I've got this feeling down deep in my soul that I just can't lose...
-
FT Birmingham City 3 - 1 Swansea City FT Manchester United 1 - 0 Liverpool FT Newcastle United 2 - 0 Leeds United FT Tranmere Rovers 0...
-
Shirikisho la kimataifa la soka FIFA limetoa viwango vya ubora wa timu za taifa vya kila mwezi huku vikiwa na mabadiliko kadhaa ya...
-
.. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
No comments:
Post a Comment