Mamia ya wanaharakati wamefanya mazishi yenye namna ya mzaha ya wabunge wote nchini Kenya.
Wanaharakati hao waliokuwa na majeneza zaidi ya
mia mbili walifanya maandamano jijini Nairobi na kuyateketeza majeneza
hayo nje ya jengo la bunge la Kenya kufuatia hatua wa wabunge kupitisha
sheria ambayo ingewapa marupurupu ya zaidi ya dola laki moja kila mmoja
na mazishi ya kitaifa watakapofariki.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Zambia 1 - 1 Ethiopia Nigeria 1 - 1 Burkina Faso
-
picha na Riziki Mashaka.
-
Msanii maarufu wa Hip...
-
Wakatia mapigano yakiendelea nchini Mali, Jeshi la Ufara nsa limetuma ndege nyingine kwenda kuteka miji mingine nchini ma...
No comments:
Post a Comment