Mamia ya wanaharakati wamefanya mazishi yenye namna ya mzaha ya wabunge wote nchini Kenya.
Wanaharakati hao waliokuwa na majeneza zaidi ya
mia mbili walifanya maandamano jijini Nairobi na kuyateketeza majeneza
hayo nje ya jengo la bunge la Kenya kufuatia hatua wa wabunge kupitisha
sheria ambayo ingewapa marupurupu ya zaidi ya dola laki moja kila mmoja
na mazishi ya kitaifa watakapofariki.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
-
...
-
Watu watano wamekufa papo hapo na wengine sita wamejeruhiwa, watatu wakiwa katika hali mbaya baada ya basi la Super Champion kugong...
-
Kundi la kigaidi la Al-Shabaab limetibitisha kuwa kiongozi wao Ahmed Abdi Godane aliuawa siku ya Jumatatu katika shambu...
No comments:
Post a Comment