Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar
Dkt. Khalid Mohamed akiongea katika mkutano na Wajumbe wa
Tume ya Mabadiliko ya Katiba uliofanyika katika ukumbi wa
Karimjee jijini Dar es Salaam leo. Katibu Mkuu huyo aliwasilisha
maoni ya watumishi wa ofisi yake kuhusu Katiba Mpya.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Bw. Awadh Saidakiongea katika mkutano kati ya Wajumbe wa Tume na ujumbe waOfisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar uliowasilisha maoni yawatumishi wa ofisi hiyo kuhusu Katiba Mpya katika ukumbi wa
Karimjee jijini Dar es Salaam leo.
Sunday, January 20, 2013
HAWA NI VIONGOZI ZANZIBAR WALIOSHIRIKI KUTOA MAONI YA KATIBA MPYA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Msemaji wa Jeshi la Wananchi Tanzania, Meja Eric Komba akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam...
-
-
Mtangazaji wa ITV anayejulikana kwa jina la Ufoo Saro amejeruhiwa vibaya kwa kupigwa risasi na mchumba wake ambaye pia alimuu na...
-
Matukio ya wananchi kumwagiwa tindikali yameendelea kushika kasi nchini baada ya Mfanyabiashara wa vifaa vya ujenzi, Christian Msema wa M...
-
Ernest Mangu TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Ju...
No comments:
Post a Comment