Wednesday, December 26, 2012

MOTO WATEKETEZA MAJENGO HUKO NIGERIA


Mlipuko mjini LagosMaafisa wa kuzima moto wakiendelea na kuzima moto katika ghala moja lililolipuka Lagos.
Moto mkubwa umetokea katika mji mkuu wa Nigeria Lagos.
Taarifa zinaarifu kuwa moto huo ulianza katika eneo la kuhifadhi baruti na kisha kuenea kwa haraka katika majengo mengine yaliyo karibu na ghala hilo.
Baadhi yamajengo yanaendelea kuteketea.
 

No comments:

Zilizosomwa zaidi