Saturday, September 8, 2012
Wakuu wa shule za sekondari nchini wanatakiwa kujiepusha na vitendo vya rushwa. Hii ni baada ya kujitokeza katika baadhi ya shule mkoani Kilimanjaro ambapo walimu wakuu wamekuwa na tabia ya kupokea rushwa ili kuwasajiri wanafunzi kuingia kidato cha Kwanza japo walifeli shule za msingi. Vitendo hivyo vya rushwa vimesababisha usajiri wa wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
MAN U 2-1 ARSENAL
-
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
No comments:
Post a Comment