Monday, September 10, 2012
Richa ya kuwa mashindano ya riadha yamekamilika na kufungwa hapo jana katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam, changamoto mbalimbali zimeweza kujitokeza katika kipindi chote cha mashindano. Miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na uhaba wa vifaa ambapo iliwalazimu washiri kukimbi bila kuvaa viatu na wanawake kuvaa sketi badala ya bukta za kiriadha. Hii ni kwa jinsi gani serikali na wizara ya michezo kushindwa kuandaa mashindano haya kikamilifu. Ni vizuri kwa mashindano yajayo kuandaliwa vizuri ili kuukuza mchezo huv wa riadha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
MAN U 2-1 ARSENAL
-
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
No comments:
Post a Comment