Monday, September 10, 2012
Kumbukumbu za kihistoria leo tar 11 septemba. 1853-Simu ya kutumia umeme ilitumika kwa mara ya kwanza. 1875-Gazeti la kwanza la cartoon liliandikwa. 1885-Moses Hopkins alitajwa kuwa Waziri wa Liberia. 1888-Mwanasiasa mkongwe nchini Algentina Domingo Sarmiento aliuawa. 1895-Kombe la ligi kuu FA, liliibiwa huko Birmingham.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
-
Marekani imetoa ripoti inayozungumzia usafirishaji wa binadamu ya mwaka 2013, huku ikiitaja Tanzania kuwa kinara wa kunyanyasa wasichana...
-
MAN U 2-1 ARSENAL
-
(Kutoka kwa Nathani)
-
INASEMEKANA huyu mwanadada ndiye aliyevunja rekodi ya watu weusi duniani maana maranyingi watu walisubiri atabasamu ili waamin...
No comments:
Post a Comment