Sunday, August 12, 2012

Wananchi wilayani Kasulu mkoani Kigoma ambao wamekwishakamilisha malipo ya kuunganishiwa umeme na shirika la Tanesco wilayani wametakiwa kufuatilia huduma hiyo mapema sana. Hayo yamesemwa na naibu Waziri wa nishati na madini Bw Masele alipofanya ziara katika mkoani Kigoma.

No comments:

Zilizosomwa zaidi