Monday, August 13, 2012

Ndoa za mitala mkoani Kagera balaa. Wanaume mkoani Kagera wamekuwa na tabia ya kuwa na nyumba ndogo ambazo hawawezi kuzihudumia familia hizo na hivyo kurudisha maendeleo nyuma. Swala hili limeongeza idadi kubwa ya tegemezi.

No comments:

Zilizosomwa zaidi