Thursday, August 16, 2012

Dk Steven Ulimboka aanza kuongea baadhi ya mambo tangu alipowasili nchini kutoka Afrika kusini kwa matibabu baada ya kupigwa vikali. Amesema yeye pekee ndio anayeujua mtandao wote katika mkasa wa kupigwa kwake. Amesisitiza kuwa "hakuna yeyote anayejua kuhusu hili"

No comments:

Zilizosomwa zaidi