Mamia ya wanaharakati wamefanya mazishi yenye namna ya mzaha ya wabunge wote nchini Kenya.
Wanaharakati hao waliokuwa na majeneza zaidi ya
mia mbili walifanya maandamano jijini Nairobi na kuyateketeza majeneza
hayo nje ya jengo la bunge la Kenya kufuatia hatua wa wabunge kupitisha
sheria ambayo ingewapa marupurupu ya zaidi ya dola laki moja kila mmoja
na mazishi ya kitaifa watakapofariki.
Friday, January 18, 2013
LADY JAYDEE BAADA YA KUFIKA KILELE CHA MLIMA KILIMANJARO
Jide akiwa kileleni mwa Mlima Kilimanjaro
Jaydee akiwa na watalii walioupanda Mlima huo
‘We did it’
Jaydee na Gadner na nyuzo za furaha
JIUNGE NASI SASA
Bonyeza kitufe kilichoandikwa like upande wa kushoto wa blog hii chini ya neno jiunge nasi katika facebook ili uweze kujiunga nasi
na kuweze kupata habari mbalimbali kutoka kwa farajadogeje.blogspot.com
na kuweze kupata habari mbalimbali kutoka kwa farajadogeje.blogspot.com
Subscribe to:
Posts (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
-
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bo...
-
Nimepokea mwaliko wa kikao maalumu cha kikao cha fedha na uongozi wa tarehe 3/01/2014 kikao kufanyika tarehe 06/01/2013 saa nane mchana ...
