Friday, January 11, 2013

RATIBA YA LEO KATIKA BARCLAYS PREMIER LEAGUE HII HAPA


Queens Park RangersvTottenham Hotspur

Aston VillavSouthampton

EvertonvSwansea City

FulhamvWigan Athletic

Norwich CityvNewcastle United

ReadingvWest Bromwich Albion

Stoke CityvChelsea

SunderlandvWest Ham United

TAIFA STARS IMEKUBALI KICHAPO KUTOKA KWA ETHIOPIA

 Mchezo wa kirafiki uliochezwa leo kati ya wenyeji Ethiopia na Taifa Stars
 umemalizika kwa ushindi wa Ethiopia kwa magoli mawili yaliyofungwa na Fuad Ibrahim na Shimelis Bekele huku bao pekee la Stars lifungwa na Mrisho Ngassa 

MATOKEO YA KIDATO CHA PILI NJE NJE...

Matokeo ya kidato cha pili yametangazwa leo na Naibu waziri wa  Elimu  Bw.Philip Mulugo  kupitia vyombo vya habari  na yako hivi:
 
Waliofanya mtihani 386,248
Waliofaulu 249,325 (65%)

Waliofeli 136,923 (35%

HIVI NDIO VIWANGO VYA JOTO LEO TAR 11 JAN 2013

Dodoma
Weather: Partly conditions and sunny periods.
Min. Temp.: 20°C
Max. Temp.: 30°C
Sunrise: 06:32
Sunset: 18:56
Wind:
Singida
Weather: Partly cloudy conditions and sunny periods.
Min. Temp.: 17°C
Max. Temp.: 28°C
Sunrise: 06:37
Sunset: 18:59
Wind:
Tabora
Weather: Partly cloudy conditions, thunderstorms and sunny periods.
Min. Temp.: 19°C
Max. Temp.: 29°C
Sunrise: 06:45
Sunset: 19:07
Wind:


Kagera
Weather: Partly cloudy conditions, thunderstorms over few areas and sunny periods.
Min. Temp.: 17°C
Max. Temp.: 27°C
Sunrise: 06:56
Sunset: 19:04
Wind: North-Esterly at 20km/hr
Kigoma
Weather: Partly Cloudy conditions, thunder showers over few areas and sunny periods.
Min. Temp.: 21°C
Max. Temp.: 28°C
Sunrise: 06:57
Sunset: 19:19
Wind:
Mara
Weather: Partly cloudy conditions, thunderstorms over few areas and sunny periods..
Min. Temp.: 18°C
Max. Temp.: 28°C
Sunrise: 06:45
Sunset: 18:56
Wind: North-Esterly at 20km/hr
Mwanza
Weather: Partly cloudy conditions, thunderstorms over few areas and sunny periods.
Min. Temp.: 18°C
Max. Temp.: 29°C
Sunrise: 06:49
Sunset: 19:00
Wind: North-Esterly at 20km/hr

Shinyanga
Weather: Partly cloudy conditions, thenderstorms and sunny periods.
Min. Temp.: 20°C
Max. Temp.: 29°C
Sunrise: 06:45
Sunset: 19:01
Wind:

JAYDEE AENDELEA NA SAFARI MLIMA KILIMANJARO...PICHA ZOTE ZIKO HAPA


Ni siku ya nne SASA katika safari ya Lady Jaydee na mume wake Gadner kuupanda Mlima Kilimanjaro. Kwa mujibu wa picha kutoka kwenye blog ya kilidovetour wanaiongoza safari hiyo, wote wanaonekana kuwa fiti wasiokuwa na hata chembe moja ya kurudi nyuma.
DSC01402 (640x480)
Safari si nyepesi!!
DSC01443 (640x480)
Gadner
Iron lady!!
Hakuna kurudi nyuma
Binti Komando
DSC01496 (640x480)
DSC01497 (640x480)
Jide, Gadner na mpiga picha waoDSC01512 (640x480)

Gadner na Jide wakipumzika kidogo kupata hewa
DSC01516 (640x480)


HILI NDIO LA WANA HABARI NDANI YA KATIBA MPYA

Wanahabari wataka uhuru zaidi wa habari: JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limependekeza Katiba mpya ijayo itambue uhuru wa vyombo vya habari, haki ya kupata habari na uhuru wa kutoa habari.

OMBAOMBA ALIEJIFANYA MLEMAVU ATIMUA MBIO BAADA YA KUGUNDULIKA SIO MLEMAVU

IMG 02331 OMBAOMBA ALIEJIFANYA MLEMAVU ATIMUA MBIO BAADA YA KUGUNDULIKA SIO MLEMAVU

Leo mjini Iringa baada ya wananchi waliokuwepo eneo hilo kupigwa na butwaa baada ya mzee Janja ambaye amekuwa akishinda eneo la mjini na kujifanya mlemavu asiyekuwa na mkono mmoja na mguu mmoja  kutimua mbio kukwepa kamera.

Tukio hilo limetokea majira ya saa 8 mchana baada ya ya wanahabari kuzungukia maeneo hayo kushuhudia umati wa wananchi wakiendelea kumpa fedha mzee janja.

WABUNGE KENYA KULIPWA DOLA 107,000

Wabunge nchini Kenya wamejizawadia dola 107,000 kama marupurupu katika mojawpao ya vikao vyao vya mwisho vya bunge hilo kabla ya uchaguzi mkuu kufayika mwezi Machi.

Kila mbunge ataweza kupata bima ya maisha, pasi ya kidiplomasia na kupata huduma za juu zaidi katika viwanja vye ndege kote duniani. Haya ndiyo mapendekezo yaliyo katika mswaada waliopiitisha ukisubiri kuidhinishwa na rais Mwai Kibaki
Ni mara ya pili wabunge wamepitisha mswaada huu wa kujizawadia mwishoni mwa vikao vyao vyabunge . Rais Mwai Kibaki alitupilia mbali mswaada wa kwanza kama huu ambao ulizua ghadhabu miongoni mwa wananchi.
Wabunge wa Kenya ni miongoni mwa wabunge wanaopokea mishahara ya juu zaidi barani Afrika kila mmoja akipata dola elfu kumi na tatu kila mwezi.
 Lakini mshahara wa mkenya wa kawaida ni takriban dola 1,700 kila mwezi.
Mswaada huu, ulipitishwa siku ya Jumatano na wabunge chini ya thelathini waliokuwa bungeni. Walikarabati bunge lao kwa kutumia dola milioni kumi na mbili kulingana na stakabadhi za bunge zilizotolewa hapo jana.
Malipo haya ni sawa na yale yaliyokuwepo katika mswaada walioupitisha mwezi Oktoba, lakini wakati huu wabunge hao pia wamependekeza marupurupu kwa rais ambaye atalipwa dola laki tatu sawa na makamu wa rais na waziri mkuu.
Alipotupilia mbali mswaada wa kwanza , Rais Kibaki lisema kuwa haiwezekani kwa wabunge kulipwa mamilioni ya dola wakati uchumi ungali umedumaa.
Tume ya kushughulikia mishahara ya wafanyakazi wa umme, iliambia wakenya kuwa hakuna uhakika ikiwa hatua yao inakuika katiba.
Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu yameelezea kukerwa sana na hatua ya wabunge. Tayari waziri mkuu Raila Odinga amepinga mswaada huo akisema kuwa ni kama uhalifu dhidi ya wakenya na kwamba anashauriana na rais Mwai Kibaki kuhusu hatua itakayokuwa sawa kwa wakenya.

Kutoka bbc

Zilizosomwa zaidi