Wednesday, January 9, 2013
KESI YA PAPA MSOFE JANUARY 22
KESI ya mauaji
inayomkabili mfanyabiashara Marijani Msofe (50)
maarufu kama ‘Papaa
Msofe ‘ imeendelea kupigwa kalenda hadi
Januari 22 mwaka huu, kwa kuwa
upelelezi haujakamilika
BUNDA BUS YAUA WATUN 2 NA KUJERUHI, MWANZA
WATU wawili wamefariki dunia na
wengine 36 wamejeruhiwa vibaya baada ya basi la kampuni ya Bunda Express lenye namba za usajili T 782 BKZ, likitokea Musoma kuelekea Mwanza kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha
Ngashe kata ya Kahangara wilayani Magu mkoani Mwanza. Ajari hii imetokea wakati mvua kubwa ilikuwa ikinyesha.WATU 8 WAMEUAWA LEO TANA RIVER KENYA

Mapigano ya awali katika Tana River pia yalisababisha vifo vya watoto na akina mama
Takriban watu 8 wameuawa na
wengine kujeruhiwa katika mapigano
mapya eneo la Tana River kusini
mashariki mwa Kenya.
Taarifa hizi ni kwa mujibu wa shirika la msalaba
mwekundu
STENDI YA KIBONDO IKO HAPA
Hii ndio stendi mpya iliyoanzishwa wilayani Kibondo mkoani KigomaStendi hii ipo nje kidogo mjini Kibondo, ONGEZEKO LA WATU TANZANIA LIKO HAPA
Matokeo ya Sensa iliyofanyika mwaka 2012 imeonesha jumla ya watu million 44 laki tisa, ishirini na tisa elfu na wawili
Hii imekuwa ni ongezeko la jumla ya watu millioni 10 na laki tano tangu sensa ilipofanyika ya mwaka 2002.
Hii imekuwa ni ongezeko la jumla ya watu millioni 10 na laki tano tangu sensa ilipofanyika ya mwaka 2002.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
-
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bo...
-
Nimepokea mwaliko wa kikao maalumu cha kikao cha fedha na uongozi wa tarehe 3/01/2014 kikao kufanyika tarehe 06/01/2013 saa nane mchana ...

























