Monday, December 24, 2012
Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Bw Suleiman Kova, amesema jeshi la polisi nchini limejipanga vyema katika kuimarisha ulinzi wakati wa sikuku hizi za Krismass na mwakampya. 'Mtu yeyote atakayepatikana akijihusisha na vitendo vinavyoweza kusababisha vurugu, hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.
Tunapoelekea kwenye sikuku hizi za Chrismass na Mwaka mpya, tuendelee kuwakumbuka ndugu jamaa na marafiki tuliowapoteza katika kipindi cha mwaka mzima. Kuna ndugu tumewapoteza katika Mgomo wa Madaktari, ajari ya meli ya Skagik na ajari nyingi za barabarani. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika
Subscribe to:
Posts (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
-
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bo...
-
Nimepokea mwaliko wa kikao maalumu cha kikao cha fedha na uongozi wa tarehe 3/01/2014 kikao kufanyika tarehe 06/01/2013 saa nane mchana ...