Friday, October 5, 2012

Mambo ya CUF nayo hapa.

Jussa ajivua uongozi CUF : WAKATI Chama cha Wananchi (CUF) kikianza kampeni za kujiimarisha kisiasa kupitia kampeni yake ya Vision For Change (V4C), Naibu Katibu Mkuu wake kwa upande wa Zanzibar, Ismail Jussa Ladhu ameomba kujiuzulu.

Picha za Rick Ross ndani ya Dar.

 Picha za Rick Ross alivyoingia Dar (milard ayo)
Huyu Rick Ross wa bongo alinichekesha sana manake alijitokeza kusikojulikana wakati watu wana shauku ya kumuona Ross mwenyewe, watu walimshangilia kweli wakijua ni mwenyewe hata mimi mwenyewe nilikua mbali ikabidi nimfate lakini nilipokaribia nikajua ni Ross wa bongo.
Mpaka baunsa ilibidi acheke manake yeye ndio aliingizwa mjini kwa asilimia 98 kabisa.
.
.
.
.
KUANZIA HAPA NDIO RICK ROSS MWENYEWE.
.
.
.

Shangwe za FIESTA

Jamaa ndio atakuwa ansababisha ile Burudani ya fiesta pande za Dar
Hivi ndivyo  Bobani alivyomchezea Yondani

Hii ndio ratiba ya mechi za kesho tar 6 oct katika Barclays Premier League

Manchester CityvSunderland

ChelseavNorwich City

Swansea CityvReading

West Bromwich AlbionvQueens Park Rangers

Wigan AthleticvEverton

West Ham UnitedvArsenal

Kilichowakuta waliogoma Afrika kusimi hiki hapa.

Wachimba migodi wa Amplats waliofutwa kazi

Yondani akiwa MOI.

Hali ya mchezaji wa Yanga, Kelvin Yondani inaendelea vizuri mara baada ya kuanza kupata matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha mifupa MOI jijini Dar es salaam.

Zilizosomwa zaidi