Wednesday, September 19, 2012
Wizara ya elimu kweli inachekesha, wanafunzi darasa la saba kujibu mtihani kwa kushedi majibu. Hivi hapa kweli si ndio wale wasiojua kusoma na kuandika watafaulu kuingia kidato cha kwanza.! Hili inabidi kuangaliwa upya na sio kukurupuka tu na mifumo ya ajabuajabu. Hapa ndio wasomi wanaanza kupotea sasa.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
-
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bo...
-
Nimepokea mwaliko wa kikao maalumu cha kikao cha fedha na uongozi wa tarehe 3/01/2014 kikao kufanyika tarehe 06/01/2013 saa nane mchana ...