Wednesday, September 12, 2012
Hatimae chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA chakili kufadhiliwa kutoka nje ili kujijenga kiuwezo. Haya yamethibitishwa na katibu wa cha hicho dk Willbrod Slaa alipokuwa kwenye simina hapo jana iliyohusisha viongozi mbalimbali wa chama hicho na wengine kutoka katika chama cha kikiristu CDU cha nchini Ujerumani.
Aliyoyaandika mchungaji Munishi katika facebook kuhusiana na mauaji ya mwandishi wa habari. SERIKALI YA TANZANIA NDIYO INAYOWAPA KIBURI ASKARI, WANANCHI WASIYALAUMU MATAWI BADALA YAKE WAULAMU MTI WENYE MATAWI. Tangu enzi za Nyerere, waandishi walitumiwa na serikali kuwanyanya wananchi wasiokuwa na hatia. Sasa joka limewageukia na kuanza kuyakata matawi, waandishi hawana budi kuukata mti wenye matawi hayo uliopo Tanzania.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
-
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bo...
-
Nimepokea mwaliko wa kikao maalumu cha kikao cha fedha na uongozi wa tarehe 3/01/2014 kikao kufanyika tarehe 06/01/2013 saa nane mchana ...