Tuesday, September 11, 2012
Simba sports club kuitwaa Ngao ya jamii katika uwanja wa taifa jijini Dar baada ya kuichala Azam FC ya Dar magoli 3-2. Azam ilifanikiwa kupata magoli yote mawili katika kipindi cha kwanza wakati simba walikuwa nyuma kwa goli moja hadi kipindi cha mapumziko. Lakini katika kipindi cha club ya Simba ilijihakishia ushindi baada ya kuongeza magoli mawili na kuyafanya matokeo kuwa Simba 3-2 Azam
Subscribe to:
Posts (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
-
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bo...
-
Nimepokea mwaliko wa kikao maalumu cha kikao cha fedha na uongozi wa tarehe 3/01/2014 kikao kufanyika tarehe 06/01/2013 saa nane mchana ...