Thursday, September 6, 2012
Tume ya kukusanya maoni imeendelea kukusanya maoni kuhusu katiba wilayani kasulu mkoani Kigoma. Baadhi ya maoni yaliyotolewa na wakazi wa Kasulu ni pamoja na Kupunguza madaraka ya raisi, Isiwepo mahakama ya Kadhi na Jumuia ya waislam OIC, Asiwepo mkuu wa wilaya, Kuwepo serikali ya majimbo na kuwepo kwa Uhuru wa dini nchini.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Zilizosomwa zaidi
-
Israel Magesa Wakili Magesa aliyeko (pichani) amefariki dunia ghafla leo asubuhi. Wakili Magesa, ambaye ni mmiliki wa kampuni y...
-
GARI aina ya Toyota VX linaloelezwa kuwa mali ya Serikali limekamatwa na polisi likiwa limebeba pembe za ndovu. ...
-
-
Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limemkamata mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnain Murji likimtuhumu kuchochea vurugu za kupinga mradi wa bo...
-
Nimepokea mwaliko wa kikao maalumu cha kikao cha fedha na uongozi wa tarehe 3/01/2014 kikao kufanyika tarehe 06/01/2013 saa nane mchana ...